Wednesday, December 19, 2012

WIZARA YA AFYA KUANZISHA KINGA YA KUZUIA VIFO KWA WATOTO UMRI CHINI YA MIAKA 5



WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii inatarajia mwaka ujao kuanzisha chanjo mpya mbili za Pneumococcal na Rotavirus, ambazo ni maalum katika kukinga maradhi na vifo kwa watoto waliochini ya umri wa miaka mitano.

Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam leo, na Mkurugenzi wa Kinga, Elias Chinamo, wakati wa warsha ya siku moja ya wandishi wa habari, ya kuwajengea uwezo wa kufikisha elimu sahihi kwa jamii pamoja na kuihamasisha jamii kuhusu chanjo hizo mpya,  zitakapoanza mwaka 2013.
Alisema walengwa wa chanjo hizo watakuwa ni watoto waliyo n aumri wa chini ya miezi 12 ambapo chanjo ya kukinga nimonia (pcv13), itatolewa mara tatu kuanzia umri wa wiki sita, 10 na 14.

Chinamo alibainisha kuwa chanjo ya kinga ya kuhara  (rotavirus), itatolewa mara mbili kuanzia umri wa wiki sita na 10, inasisitizwa kuwa ili mtoto apate kinga kamili ni lazima akamilishe ratiba mapema.

Alisema kitaalam zinaonesha kuwa chanjo ya ‘Pneumococcal’ hukinga maambukizi ya nimonia kwa asilimia 38, homa ya uti wa mgongo kwa takriban asilimia 87; na chanjo ya ‘rotavirus’ hukinga  kuharisha kunakosababisha vifo vya watoto kwa aslimia 80.

Chinamo aliongeza kuwa  kwa sehemu kubwa hukinga ugonjwa wa kuharisha unaosababshwa na vimelea vya aina nyingine pia.

Alibainisha kuwa vimelea ‘Streptococcus Pneumoniae’ ni kisababishi kikuu cha maradhi na vifo vitokanavyo na ugonjwa wa nimonia na homa ya uti wa mgongo kwa watoto katika nchi zinazoendelea.

Aidha, vimelea vya ‘rotavurus’ kwa upande mwingine husababisha takriban asilimia 80 ya maradhi na vifo vitokanavyo na kuharisha kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano duniani

Vile vile alitoa wito kwa wananchi kuwa chanjo hizo ni salama na zitatolewa bure bila malipo ambapo pia aliwahakikishia wananchi hao kuwa  chanjo zitatolewa na wataalam wenye uzoefu.


Monday, December 17, 2012

5 Weight Gain Causes You Can’t Control



The frustration and annoyance of seeing extra pounds on the scale, or of the sudden tightness of a favorite pair of pants, is understandable.
But did you know that anything from a hormonal imbalance to vitamin deficiencies to your medication can help control how much you weigh?
1.              Anti-Depressants
Many anti-depressant medications cause weight gain, so if you’re depressed and taking pills for it, expect to see a bump in weight between 5 and 15 pounds, with continued gradual accumulation over the years.
Solution: Seek out some workout buddies or a support group. “Attending meetings, like Weight Watchers, or working out with a group of friends is a great way to increase social support.
2.              Prescription Medications
There’s a long list of medications that can cause weight gain:
Birth control pills
Hormones for hormone therapy
Steroids
Beta-blockers
Anti-seizure medication
Tamoxifen
Some treatments for rheumatoid arthritis
Treatments for migraines
Heartburn medications
Solution: If you suspect your medication is affecting your waistline, your doctor may be able to find an alternative treatment that won’t have that particular side effect.
3.              Digestive Problems
Digestive issues, including slow bowel movements, may also account for excess pounds,  If you’re not so regular, dehydration, medications, low fiber, or even a lack of good flora in your gut could be to blame.
Solution: If constipation is your only symptom, then trying probiotics can help your digestive tract work properly. Staying hydrated is a key, along with a diet chock-full of fiber-rich foods. But you can also try drinking a fiber powder, like Metamucil, mixed with water. It may even grab fat globules in your intestinal tract as it scrubs out waste, If you’re still having trouble, check with your doctor to rule out a range of disorders, including hypothyroidism or a neurological issue.
4.              Vitamin-Deficiencies
Being low in vitamin D, magnesium, or iron can compromise your immune system, sap your energy levels, or alter your metabolism in ways that make it harder to take healthy-lifestyle steps.
Solution: While you can try to boost your iron levels by eating red meat and spinach and increase magnesium by adding Brazil nuts or almonds to your diet, it’s nearly impossible to consume enough milk or get enough sunlight to compensate for low vitamin D. It’s important to know that it could take awhile to find your right dose of vitamin D. but it’s still wise to let your doctor rule out hypothyroidism or other conditions that might cause insulin resistance, and thus weight gain, before you start taking supplements.
5.              Age
It’s the one condition that’s unavoidable, Often, I hear patients tell me they think their metabolism is slowing down. Some studies show that exercise might be even more important than the diet for long-term weight maintenance.”
Solution: Remember that all calories are not equal when it comes to weight, Eating lean protein will cause your body to burn calories more efficiently. On the other hand, carbs are something your body tends to burn more slowly and even store in your body more readily. Health Conditions
Many conditions, such as thyroid disorders and certain cancers, can result in unintentional weight gain. Additionally, conditions that limit your mobility, such as arthritis, can indirectly cause weight gain by reducing your ability to be active.
Solution: Talk with your doctor about how you can help manage your weight while you’re being treated for your condition. Also, try to focus on eating as healthy as possible, for the sake of your overall health.



Friday, November 9, 2012

WATANZANIA WATAKIWA KUPIMA AFYA ZAO MARA KWA MARA-MAMA SALMA KIKWETE.


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (pichani) ameitaka jamii kujenga mazoea ya kujichunguza afya zao mara kwa mara ili kuepuka maradhi au vifo visivyo na lazima kwani hivi sasa kuna maradhi mbalimbali yanayotokana na mazingira na aina ya mtindo wa maisha na hivyo kurudisha nyuma maendeleo binafsi na taifa kwa ujumla.

Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) ameyasema hayo jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya utoaji huduma ya afya kwa jamii ikiwemo uchunguzi wa saratani iliyoandaliwa na Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA) katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salam.

Mama Kikwete pia aliitaka jamii kubadilisha mtazamo juu ya afya ya uzazi na mtoto kuwa inamhusu mama peke yake bali kila mmoja katika familia anahusika ingawa hapo awali wanaume walionekana kutengwa na kutowajibika ipasavyo hivyo kusababisha kuzorota kwa afya ya uzazi na mtoto.

“Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii pamoja na wadau wake hivi sasa wametuanzishia mchakato huu, awali huduma hii ilijulikana kama afya ya mama na mtoto lakini sasa inajulikana kama afya ya uzazi na mtoto hii ni kuonesha kwamba kila mmoja wetu ndani ya familia anawajibika”, alisema Mama Kikwete.

Mwenyekiti huyo wa WAMA pia aliipongeza MEWATA kwa kuikumbuka jamii na kujitoa kwao kama madaktari wanawake kuweza kuwafikia wananchi wengi kwa mara moja hii inathibitisha kuwa wanawake wakipewa nafasi ya kuongoza wanaweza.

Aidha Mama Kikwete alivitaka vyombo vya habari kutia mkazo katika kuandika habari zinazohusu afya ya uzazi na mtoto kwa kuziandika habari hizo katika kurasa za mbele za gazeti na siyo katika kurasa za ndani kwani kupitia kwao jamii inapata elimu kuhusiana na mambo ya afya.

Kwa upande wake mwenyekiti wa MEWATA Dk. Serafina Mkuwa alisema kuwa tangu chama hicho kimeanza kufanya zoezi la uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi mwaka 2005 hadi mwezi Machi mwaka huu wameweza kuchunguza akinamama zaidi ya elfu 65 ambapo miongoni mwao 3139 sawa na asilimai tano walikutwa na matatizo mbalimbali ya matiti na 167 sawa na asilimia 0.3 waligundulika kuwa na saratani ya matiti.

“Kwa takwimu hizi ni dhahiri kuwa kuna matatizo makubwa ndani ya jamii yetu kwa hiyo ipo haja ya kufanya jitihada za makusudi kuelimisha jamii ili iweze kujiwekea utaratibu wa upimaji afya mara kwa mara kwani matatizo ya kiafya ikiwemo saratani yakigundulika mapema na kutibiwa hupona na hivi kuboresha afya na kuleta maendeleo ya nchi”, alisema Dk.Mkuwa.

Aliendelea kusema kuwa wakati wa kampeni za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi imekuwa ngumu kwa kiasi fulani kwani wanahitaji vifaa tiba zaidi ili waweze kutibu dalili ashiria za saratani ya mlango wa uzazi ambazo mara nyingi ni rahisi kuchunguzwa katika vituo vya afya na muhudumu aliyepata mafunzo ya huduma hiyo.

Chama hicho kinategemea kufanya mkutano wake wa 13 wa mwaka wa kisayansi tarehe 10 mwezi huu jijini Dar es Salaam ambapo kauli mbiu ni Ushiriki wa wanaume katika kuboresha afya ya uzazi wa mtoto katika Afrika; je tuko wapi?

Moja ya vitu wanavyovifanya kabla ya kuanza kwa mkutano huo ni kutoa huduma za afya bure kwa siku moja ikiwemo upimaji wa afya ya mwili na kinywa kwa jamii yote ili iweze kupata huduma kutoka kwa madaktari bingwa ili wananchi wasio na uwezo wa kuonana na madaktari hao katika hospitali waweze kunufaika na huduma hiyo.





Sunday, November 4, 2012

PERSISTENT COUGH?



It’s been over a week, but you’re still coughing.

Reasons;

Your Cold/Flu Has Irritated Your Airways

Unfortunately, the effects of viruses or bacteria can last long after the actual infection is gone. A chronic cough can be the most predicable aftermath of a cold or other viral infection. While most cold symptoms may go away after a few days, your cough can hang around for weeks, even months, because viruses can cause your airways to become swollen and oversensitive.

You Have Asthma or Allergies

Allergies and asthma are common causes of prolonged coughing. A cold can even cause an asthma attack. In fact, some people learn they have asthma after suffering from a cold.

In addition, acid reflux and obstructive sleep apnea can also cause a chronic cough.

Notify a doctor if you experience the below acid reflux symptoms:

• Burning sensation

• Heartburn

• Ongoing cough

• Recurrent awakenings

• Sleepiness during the day

Tips:

Did you know that lemon tea is the best cure for cough/cold?

Buy a lemon and put the juice into your normal tea, do this every day and you will never experience cough/cold again.







Tuesday, October 9, 2012

DIET RICH IN TOMATOES IS SAID TO REDUCE RISK OF HAVING STROKE

According to researchers in Finland a diet rich in tomatoes may reduce the risk of having a stroke.


They were investigating the impact of lycopene – a bright red chemical found in tomatoes, peppers and water-melons.

A study of 1,031 men, published in the journal Neurology, showed those with the most lycopene in their bloodstream were the least likely to have a stroke.

The Stroke Association called for more research into why lycopene seemed to have this effect.

The levels of lycopene in the blood were assessed at the beginning of the study, which then followed the men for the next 12 years.

They were split into four groups based on the amount of lycopene in their blood.

There were 25 strokes in the 258 men in the low lycopene group and 11 strokes out of the 259 men in the high lycopene group.

The study said the risk of stroke was cut by 55% by having a diet rich in lycopene.





Friday, October 5, 2012

BURJ AL ARAB IS SELLING A ROSE GOLD IPAD TO SUPPORT BREAST CANCER AWARENESS.


The Dubai-based luxury hotel, Burj Al Arab is celebrating the Breast Cancer Awareness Month by launching the Pinking Burj Al Arab campaign. As a part of their endeavor to raise money for breast cancer awareness, the hotel has tied up with bespoke jewelerGold & Co. London, to create an exclusive one-of-a-kind 24-carat rose gold iPad. The iPad will be on display in the hotel’s boutique and will be kept reserved for the person who quotes the best price for the iPad through the hotel’s Facebook page. Though the pink gold iPad is the highlight of the Pinking Burj Al Arab campaign, it also includes lighting the sail in pink with a projection of the pink ribbon logo and bespoke Pink Indulgence food and beverage offerings, such as the Pink Tea and the “Bella Rosa” Pink Cake.


Burj Al Arab promises to give all the proceeds from this sale towards Breast Cancer initiatives. The Pinking Burj Al Arab campaign will start with the lighting of Burj Al Arab’s sail in pink on Dubai Goes Pink day – 4 October, and will last throughout October.





Wednesday, October 3, 2012

PRESIDENT KIKWETE, MR. BAN KI-MOON, MAYOR BLOOMBERG AND MS. AGERUP MEET TO DISCUSS MATERNAL AND NEWBORN DEATHS.

President Kikwete (left) in official talks with New York City Mayor Michael Bloomberg at the United Nations Headquarter in New York, USA.  (This photo is a courtesy of Bloomberg Philanthropies/Jin Lee).

New York City Mayor Michael Bloomberg (right), and Ms. Helen Agerup (center), President of H&B Agerup Foundation, listening to President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete of Tanzania as talks about the maternal health and newborn deaths in Tanzania. The Bloomberg Philanthropies have supported Tanzania since 2006 and has invested USD 7.5 million towards the project aimed to prevent maternal and newborn deaths.  To this date, there are over 9 upgraded health centres in Kigoma, Morogoro and Pwani Region which have benefited through the Bloomberg Philanthropies project.   (This photo is a courtesy of Bloomberg Philanthropies/Jin Lee).
H.E. Jakaya Mrisho Kikwete (left), President of the United Republic of Tanzania listens Mr. Ban Ki-Moon, Secretary General of the United Nations prior to the press conference of the Maternal Health Program in Tanzania funded by Bloomberg Philanthropies. Second right is Mr. Michael Bloomberg, Mayor of the New York City and Ms. Helen Agerup (2nd left), President of H&B Agerup Foundation.  (Photo by Tagie Daisy Mwakawago of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation).
President Kikwete explains the much needed training for non-physician clincians in health facilities throughout the regions in Tanzania. (Photo by Tagie Daisy Mwakawago of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation).

H.E. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete (left), President of the United Republic of Tanzania discusses briefly with New York City Mayor Michael Bloomberg(right) about his country’s gratitude towards the Bloomberg Philanthropies initiative which resulted in an increase of over 1,000 delivery health facilities in Kigoma, Morogoro and Pwani Regions in Tanzania. Others in the photo are Ambassador Tuvako Manongi (2nd left), Permanent Representative of the United REpublic of Tanzania to the United Nations and Ms. Helen Agerup (2nd right), President of H&B Agerup Foundation. (Photo by Tagie Daisy Mwakawago of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation).



United Nations Secretary General Ban Ki-moon (right), listens to New York City Mayor Michael Bloomberg prior to the press conference of the Maternal Health Program in Tanzania funded by Bloomberg Philanthropies held yesterday in the Dag Hammarskjöld Library at the Nations Headquarters in New York, USA. (Photo by Tagie Daisy Mwakawago of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation).




President Kikwete (left), in a group photo with Mr. Michael Bloomberg (2nd right), New York City Mayor, Mr. Ban Ki-moon (right), United Nations Secretary General and Ms. Helen Agerup (2nd left), President of H&B Agerup Foundation.  (Photo by Tagie Daisy Mwakawago of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation).








Thursday, September 27, 2012

USHIRIKIANO WA PAMOJA UNAHITAJIKA ILI KUMUINUA MWANAMKE NA MTOTO WA KIKE


Mshikamano wa pamoja unahitajika baina ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea ili kuhakikisha kuwa mtoto wa kike ambaye hajapata nafasi ya kwenda shule anapata elimu, kuwainua wanawake kiuchumi na kupunguza vifo vya kinamama wajawazito na watoto vinavyotokana na tatizo la uzazi na ugonjwa wa kansa.


Hayo yamesemwa jana na Mke wa rais Mama Salma Kikwete wakati akichangia mada kwenye mkutano wa The RAND African First Ladies Initiative uliofanyika makao Makuu ya Taasisi ya Ford mjini New York nchini Marekani.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alisema kuwa taasisi mbalimbali za Kiserikali na zisizo za kiserikali zinafanya jitihada kubwa ya kuhakikisha kuwa zinawasaidia wanawake wanaokabiliwa na changamoto mbalimbali za maisha tatizo lililopo ni upungufu wa rasilimai fedha za kuweza kukabiliana na changamoto hizo hivyo basi ushirikiano wa pamoja unahitajika ili kuweza kufanikisha malengo hayo.
Aliendelea kusema kuwa watoto wa kike wakipata elimu ya kutosha watakuwa na silaha muhimu katika maisha yao ya kuweza kupambana na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na maradhi, ujinga na umaskini kwani elimu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya taifa lolote Duniani bila ya watu kuwa na na elimu nchi haiwezi kuendelea.

“Ukimuelimisha mtoto hasa mtoto wa kike ambaye amekosa nafasi ya kupata elimu ni faida kwa mtoto, Taifa na Dunia kwa ujumla kwani hivi sasa tumejionea wanawake wengi wakishika nafasi za juu za uongozi kitaifa na Dunia pia wameweza kujikwamua kiuchumi tofauti na miaka ya nyuma”, alisema Mama Kikwete.

Mwenyekiti huyo wa Taasisi ya WAMA alisema kuwa nchini Tanzania watoto wengi wa kike ambao ni yatima na wanaishi katika mazingira hatarishi wameshindwa kupata elimu sawa na watoto wengine hivyo basi aliamua kuanzisha taasisi hiyo ili aweze kuwasaidia watoto hao, kuwainua wanawake kiuchumi na kupunguza vifo vya kina mama wajawazito na watoto na wanaougua ugonjwa wa kansa kwa kutoa elimu kwa wananchi na vifaa tiba katika vituo vya afya na Hospitali .

Mkutano huo wa siku moja ulihudhuriwa na wake wa marais na wakuu wa Serikali wa Afrika, mke wa rais mstaafu wa Marekani Laura Bush na mke wa waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Cherie Blair, pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali na mashirika binafsi kutoka nchi wa Afrika na Marekani.

Katika mkutano huo mambo mbalimbali yalijadiliwa ikiwa ni pamoja na kuangalia jinsi gani wake wa maraisi na wakuu wa Serikali wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi zao katika kuimarisha afya ya mwanamke, kuhakikisha kuwa mtoto wa kike anapata elimu na na kuwainua wanawake kiuchumi pamoja na changamoto wanazoweza kukabiliana nazo





Wednesday, September 26, 2012

CHINESE HOSPITALS INTRODUCE HANDS-FREE AUTOMATIC HAND EXTRACTOR FOR DONORS


Look ma, no hands! Sperm donation just got that much easier now that researchers at Zhengzhou Central Hospital in China have created a machine that…well, sucks the donor off, pretty much.


The machine boasts a screen for visual stimulation (read: porn) while the pink massager strokes the man’s donor pipe to ultimate pleasure. All he has to do is stand back and enjoy the hands-free masturbation.

Director of the Urology Department at the hospital Zhu Guoxin said the machine can be used by men who cannot donate sperm in the old-fashioned way.

Adding that this machine is only recommended for patients who’ve had difficulty retrieving sperm. Users must use a condom, but lubricant and chemicals on condoms will affect the accuracy of the test results.

If it weren’t for the $2,800 price tag, pubescent boys everywhere would be begging Santa Claus to drop one of these babies off at their house this Christmas.

This love machine would sell out faster than the iPhone 5 if it was under $500 bucks.

Maybe the researchers can work on a more compact version for the mass market.

Unfortunately, mens’ forearms will probably get a lot smaller as a result of the reduction in activity.

Thursday, September 20, 2012

DOCTORS PERFORM WORLD’S FIRST UTERUS TRANSPLANT BETWEEN A MOTHER AND HER DAUGHTER.



women in their thirties received their mother’s uterus

-They Two will need to wait for one year before undergoing IVF
-If procedure works it will be the first time a mother and daughter will have grown in the same womb 
-Women stop producing eggs around the age of 50 but their wombs can remain viable past 60 
Doctors have carried out the world’s first womb transplants between a mother and daughter.
Within the past few days, two women have received organs donated by their mothers in the hope they will be able to have children.
The recipients, whose names have not yet been revealed, are aged between 32 and 37, and are from Sweden.
The operations each lasted seven hours and were carried out at the weekend by a team of ten surgeons from the University of Gothenburg.
One of the women had been born without a womb while the other had recently had the organ removed following surgery for cervical cancer.
Both were still able to release eggs from their ovaries and underwent IVF before the operation to produce embryos. These have been frozen and doctors intend to implant them into the women’s new wombs next year in the hope they will become pregnant.
The women were ‘tired’ following  the surgery but were recovering well, the Swedish doctors said.
However, the team will not hail the operations a ‘complete success’ until the women have given birth to healthy babies. Even though the mothers are in their 50s and 60s, the doctors believe they will be healthy enough to bear children.

Wednesday, September 19, 2012

CHOLERA OUTBREAK IN SIERRA LEONE



 As of 16 September 2012, a cumulative total of 18,508 cases including 271 deaths (with a case fatality ratio of 1.5%) have been reported in the ongoing cholera outbreak in Sierra Leone since the beginning of the year.
The highest numbers of cases are reported from the Western area of the country where the capital city of Freetown is located.
The Ministry of Health and Sanitation (MOHS) is closely working with partners at national and international levels to step up response to the cholera outbreak. The ongoing activities at the field level include case management; communication and social mobilization; water, sanitation and hygiene promotion; surveillance and data management.
Emphasis is being placed on early detection of cases and timely provision of treatment at the district levels in order to reduce deaths. Cholera cases are managed in cholera treatment units (CTUs) and where there are no established CTUs, emphasis is placed on designating specific areas within the health facilities for isolation purposes.
At the national level, the Cholera command and Control Centre (C4) continues to provide technical advice, coordinate and monitor the outbreak. The C4 was established to implement activities related to the Cholera Preparedness and Response Operation Plan (CPROP) in order to bring the epidemic under control as soon as possible. The C4 will also provide information to guide the decision-making of the national task force.
WHO and partners are supporting the government in the response to the outbreak. Through the Global Outbreak Alert and Response Network (GOARN), experienced case management and laboratory experts from the International Center for Diarrheal Disease Research, Bangladesh (ICDDR, B) are deployed to build capacity among health-care workers and laboratory technicians in case management and laboratory diagnosis.
With respect to this event, WHO does not recommend that any travel or trade restrictions be applied to Sierra Leone.

SOURCE: World Health Organization (WHO)
_____________________
Media Contact:
thpi2009@gmail.com

Saturday, September 15, 2012

RESEARCH SHOWS WORK STRESS RAISES HEART RISK.




Having a highly demanding job, but little control over it, could be a deadly combination.
UK researchers analysed 13 existing European studies covering nearly 200,000 people and found “job strain” was linked to a 23% increased risk of heart attacks and deaths from coronary heart disease.
Lancet medical journal report said risk to the heart was much smaller than for smoking or not exercising.
The British Heart Foundation said how people reacted to work stress was key.
Job strain is a type of stress.
The research team at University College London said working in any profession could lead to strain, but it was more common in lower skilled workers.
Doctors who have a lot of decision-making in their jobs would be less likely to have job strain than someone working on a busy factory production line.

Sunday, September 9, 2012

MICHELLE OBAMA’S TOP 6 HEALTH TIPS


What’s not to love about First Lady Michelle Obama? She’s a well-educated professional, she’s a devoted mother, she’s the greatest supporter and defender of her husband, President Barack Obama, and she strives every day to be healthy and happy woman.

What are some of the top everyday things she does to help maintain a healthy life?

1. Michelle works out.
She wakes up around 4:30am every day to work out before her children wake up, doing combinations of cardio and strength moves. If she’s on the road, she tries to bring a jump rope with her, or do a pre-planned 30-minute workout involving jumping jacks and sit-ups. She also varies her workouts, and includes moves to maintain her flexibility, such as Pilates and yoga.

2. Michelle takes great care of her skin.
Her skin care routine is pretty basic: face cleanser and a moisturizer with SPF. She also treats herself to the occasional facial.

3. Michelle eats right, but eats fries, too.
She believes that eating right is about establishing healthy boundaries, and that she couldn’t be happy if she had to cut out the foods she loved. She says that she loves fries, a good burger and pie, and enjoys these things in moderation, while including plenty of healthy food choices as well.

4. Michelle understands her value.
She makes sure to put “me” on her priority list, and makes choices that make her happy, saying that “Even my husband is happier when I’m happy, and says that personal happiness is connected to everything.” She also stresses that this is an important lesson she wants her own daughters to learn.

5. Michelle deals with problems constructively.
She believes in immediately dealing with the things that bother her instead of internalizing them. She talks to her network of friends and family to help her resolve issues before they become serious problems.

6. Michelle dresses for her own happiness.
Yes, she’s a fashion icon, but says that she actually picks clothes that make her feel good, and uses her own internal guide. She feels that women should always do this, especially since it’s impossible to make everyone 100% happy.



Sunday, September 2, 2012

World Suicide Prevention Day



10 September 2012

World Suicide Prevention Day on 10 September promotes worldwide commitment and action to prevent suicides. On average, almost 3000 people commit suicide daily. For every person who completes a suicide, 20 or more may attempt to end their lives.

The sponsoring International Association for Suicide Prevention, the co-sponsor WHO and other partners advocate for the prevention of suicidal behaviour, provision of adequate treatment and follow-up care for people who attempted suicide, as well as responsible reporting of suicides in the media.

At the global level, awareness needs to be raised that suicide is a major preventable cause of premature death. Governments need to develop policy frameworks for national suicide prevention strategies. 

At the local level, policy statements and research outcomes need to be translated into prevention programmes and activities in communities

Thursday, August 23, 2012

MAMA SALMA KIKWETE TO LAUNCH RAPID WOMEN TANZANIA MODEL



Mama Salma Kikwete.

The Tanzanian First Lady and Chairperson of Wanawake na Maendeleo Foundation (WAMA) tomorrow will be launching the RapidWomen Tanzania Model in Dar es Salaam.

The RapidWomen Tanzania Model is an interactive software tool that shows how women centered strategies focused on three aspects; Reproductive health, Gender norms and Education, can increase the quality of life of women, families, communities, as well as overall national development thus impacting on the Human Development Index (HDI).

Based on local Demographic and Health Survey (DHS) data, the model has great potential as an advocacy tool that can be used by women leaders, government leaders and civil Societies, calling for a more focused 3 prong approach to national development. 

Friday, August 17, 2012

UN YAWAKUTANISHA VIJANA NCHINI NA KUWATAKA KUJITAMBUA KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA VIJANA DUNIANI


Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Tanzania Dkt. Elisante Ole Gabriel (katikati) kwa niaba ya Waziri Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella E. Mukangara katika meza kuu wakati wa maadhimisho ya siku ya Vijana Kimataifa Duniani ambapo Tanzania iliadhimishwa katika viwanja vya Temeke Mwembeyanga. Kushoto ni Mwakilishi Mkazi wa UNFPA Bi. Mariam Khan na kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la AMREF Bw. Festus Ilako.



Mwakilishi Mkazi wa UNFPA Bi. Mariam Khan (kushoto) akisalimia umati wa wakazi wa jijini Dar (hawapo pichani) na kutoa ujumbe kwa vijana kuungana na kujiepusha na mangonjwa hatarishi. Kulia Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Tanzania Dkt. Elisante Ole Gabriel.



Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Tanzania Dkt. Elisante Ole Gabriel akiteta jambo na Mwakilishi Mkazi wa UNFPA Bi. Mariam Khan.



Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Tanzania Dkt. Elisante Ole Gabriel akiwasilisha ujumbe kwa niaba ya Waziri wa Wizara ya Vijana Utamaduni na Michezo ambapo amewataka vijana kujitambua na kuwa na mikakati endelevu na kukaa kama vikundi ili Serikali iweze kuwasaidia kupata misaada na kuwawezesha kuwa na maendeleo endelevu katika siku hii ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Vijana Duniani ambayo huadhimishwa kila tarehe 11 Agosti na kutimiza malengo aliyokuwa akiyatafakari baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere juu ya Vijana.



Umati wa wakazi wa Temeke katika tamasha la siku ya maadhimisho ya Kimataifa ya Vijana Duniani ambako zilifanyika shughuli mbambali ikiwemo ujumbe kutoka Serikalini na Kupima virusi vya Ukimwi bure.








Baadhi ya Vijana wakitazama machapisho ya vijarida mbalimbali vinavyotoa taarifa kuhusiana na Afya zao na jinsi ya kupata huduma.


Mmoja wa wakazi wa jijini Dar es Salaam akicheki Afya yake



Wakazi waliohamasika kupima VVU na magonjwa ya Zinaa wakiwa katika foleni ya kupata huduma hiyo wakati wa maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya vijana Duniani katika viwanja vya Mwembeyanga Temeke jijini Dar



Kikundi cha Sarakasi cha Rayon Kids kutoka Temeke kikitoa burudani wakati wa maadhimisho hayo.









Wednesday, August 15, 2012

PRECISION AIR NA TAASISI YA TUMAINI LA MAISHA KUTOA USAFIRI KWA WATOTO WENYE SARATANI


 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Precision Air Bw. Alfonse Kioko akizungumza na wageni na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kutiliana saini na Taasisi binafsi ya Tumaini la Maisha ambapo amesema kuwa taifa lenye afya ndio lenye uwezo wa kupata maendeleo na kuongeza kuwa watoto wanahitaji uangalizi na huduma bora za afya ili kujenga taifa lenye afya bora na mafanikio siku za usoni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Tumaini la Maisha Bi. Blandina Lugendo na kulia ni Daktari Bingwa wa Saratani za Watoto (Paediatric Oncologist) Dkt. Trish Scalan. 



Bw. Alfonse Kioko wa Precision air wakitiliana saini mkataba na Bi. Blandina Lugendo wa Taasisi ya Tumaini la Maisha, utakaoshuhudia kampuni ya Precision Air ikitoa tiketi za ndege kwa Taasisi ya Tumaini la Maisha Tanzania, ambazo zitatumika kusafirisha watoto wenye saratani pamoja na wazazi au walezi wao kutoka jijini Dar es Salaam kwenda sehemu mbalimbali nchini.



Wakikabidhiana mkataba wa makubaliano hayo.


Kampuni ya huduma za usafirishaji wa anga ya Precision Air imeingia katika ubia na taasisi binafsi ya Tumaini la Maisha Tanzania ambayo inajihusisha na kuboresha maisha ya watoto wenye saratani nchini Tanzania.

Kampuni hiyo itakuwa ikitoa tiketi mbili zilizolipiwa ushuru kwa mwezi na kuwezesha kusafirisha wagonjwa kwenda katika maeneo mbalimbali nchini.

Akizungumza katika hafla ya kusain imkataba wa ubiahuo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Precision Air Bw. Alfonse Kioko amesema wanayo furaha kuingia katika ushirikiano huo katika jitihada za kujenga taifa lenye afya.

Bw. Kioko ameongoza kusema kuwa wapo maelfu ya watoto wanaosumbuliwa na saratani ndani ya nchi yetu, na ni lengo lao sasa kuhakikisha tunawarahisishia ugumu wa maisha katika kupambana na ugonjwa huo.

Taasisi ya Tumaini la Maisha Tanzania imekuwa taasisi ya kwanza  ya kijamii yenye dhamira ya kuboresha afya za watoto waishio na ugonjwa wa saratani nchini Tanzania.
Moja ya malengo ya Taasisi hiyo ni pamoja na kujenga wodi mpya ya Saratani katika hospitali ya taifa Muhimbili ili kuweza kutoa huduma kwa watoto na familia zao na kuepuka wingi wa wagonjwa katika wodi za hospitali hiyo.

SOURCE: www.dewjiblog.com
 ________________ 
Media Contact:
E-mail: thpi2009@gmail.com