Thursday, July 26, 2012

AFRICAN BARRICK GOLD DONATES $100,000/= TO FIGHT AGAINST MALARIA


African Barrick Gold (ABG) has partnered with Malaria No More to raise awareness on malaria prevention in Tanzania. ABG, through its Maendeleo Fund, has provided $100,000 (approx. 160 million shillings) towards the roll-out of Malaria No More’s NightWatch campaign in the Lake Zone  over a one-year period. ABG’s Vice-President for Corporate Affairs, Deo Mwanyika (centre), is pictured with David Bowen, Chief Executive Officer of Malaria No More (right) and Robert Pilon Jr., the initiative’s Chief Development Officer at the cheque hand-over ceremony in Dar es Salaam recently.


Wednesday, July 25, 2012

Recommended Ramadhan Diet



Drink Plenty of Water
Proper hydration is essential during Ramadhan. Drink plenty of fruit juice and water during Suhoor and bedtime to maintain proper fluid levels. This helps avoid common health problems associated with dehydration such as headache and fatigue.

Replace Sugar with Fruit
Sugar absorbs necessary vitamins and minerals from our bodies. During Ramadhan, it is important to retain as many vitamins and minerals as possible. White rice and bread act in the same way sugars do in our bodies. Whole wheat and unpolished rice are a good substitute.

Avoid Overeating
It’s a sad truth that the majority of Muslims gain weight during Ramadhan, but there is no need to consume excess food at Suhoor or Iftaar. This may result in indigestion, bloating, upset stomach or lack of sleep. There is no reason to vary your diet too much from your normal diet before fasting. During a period of fasting, our bodies are able to compensate so there is no reason to eat more than normal.

Ramadan Diet Suggestions:

Dates/Almonds
Dates are an excellent source of fiber, sugar, potassium , magnesium and carbohydrates. Almonds are low in fat and a good source of protein and fiber.

Soup
Soup is a quick and easy way to get the nourishment your body needs. Soup provides two basic needs during a fast: nourishment and water. It is an excellent choice for iftar.

Fruits
Bananas are a good source of carbohydrates, magnesium and potassium. Other fruits, such as pears, nectarines, oranges, plums and apples are a good sources of natural sugar.

Foods to Avoid During Ramadan
Avoid fatty and fried foods as they will make you feel sluggish and possibly cause indigestion. You should also avoid foods with too much sugar, which is why fruits are a preferred option. Avoid tea and opt for water instead. Tea passes quickly through the digestive system and takes valuable mineral salts with it that the body needs to function properly during the day

Source: www.dewjiblog.com 

Tuesday, July 24, 2012

HOSPITALI YA AICC KUENDESHA KAMPENI YA KUPIMA KISUKARI BURE



Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha kupitia hospitali yake ya AICC kitaendesha kampeni ya kupima kisukari bure kwa wakazi wa Arusha ili kusaidia wananchi kutambua kama wana ugonjwa wa kisukari au wapo katika hatari ya kuugua ugonjwa huo.

Kampeni hiyo itafanyika kesho (terehe 26-07-2012) katika hopitali ya AICC iliyopo jijini Arusha ambapo madaktari wa hospitali ya AICC kwa kushirikiana na Madaktari wanaohudhuria mkutano wa Shirikisho la Madaktari wa Kimataifa pamoja na madaktari kutoka Chama cha Ugonjwa wa Kisukari Tanzania wataendesha zoezi la upimaji huo.

Mkurugenzi Mwendeshaji wa AICC, Bwana Elishilia Kaaya, amesema kuwa mbali na kupima kisukari, madaktari hao pia watatoa ushauri wa namna bora ya kuishi na jinsi ya kuzuia madhara ya kisukari kwa wale watakao kuwa wamekutwa na ugonjwa huo.

 “Hospitali ya AICC inatambua umuhimu wa afya za wakazi wa Arusha na Watanzania kwa ujumla na ndio maana tumeona ni vema kufanya kampeni hii ya kupima kisukari. Napenda kutumia fursa hii kuwaalika wakazi wote wa Arusha na vitongoji vyake kufika kwa wingi kwani mbali na kupima pia itatolewa elimu na ushauri kutoka kwa wataalamu hao.” alieleza Kaaya.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mwendeshaji, upimaji huo utaenda sambamba na mkutano wa kwanza wa Shirikisho la Madaktari wa Kisukari wa Kimataifa ambao kwa mara ya kwanza unafanyika hapa nchini. Mkutano huo utafanyika katika kituo cha AICC ambapo madaktari wanaohudhuria mkutano huo na wale kutoka Chama cha Ugonjwa wa Kisukari Tanzania watatoa huduma ya upimaji katika zoezi hilo.

“Tunaamini baada ya kampeni hii wananchi watakuwa wamepata ufahamu juu ya hali ya afya zao na kutumia vema ushauri wa madaktari kwa ajili ya kujikinga na kuzua athari za ugonjwa huo”, alielezea Kaaya.

Mbali na kuendesha kampeni hii, hospitali ya AICC imeanzisha kitengo maalumu cha kisukari ambapo kila wiki madaktari hutoa huduma za matibabu na ushauri kwa wagonjwa wa kisukri.

Ugonjwa wa kisukari umekuwa ukiongezeka kwa kasi duniani ambapo taarifa za Shirika la Afrya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa hadi kufikia mwaka 2011 watu milioni 366 walikuwa wanaugua ugonjwa wa kisukari na mwaka 2030 idadi inakadiriwa kufika milioni 552. Barani Afrika watu milioni 14 na nusu wanaugua ugonjwa huo huku idadi ikitarajiwa kufika milioni 28 mwaka 2030 ikiwa ni ongezeko la 90%


Friday, July 20, 2012

HAIKUBALIKI KWA MJAMZITO KUPOTEZA MAISHA AKIJIFUNGUA - DKT. KIKWETE





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni jambo lisilokubalika kwa mwanamke kupoteza maisha wakati akijifungua kwa sababu uja uzito siyo ugonjwa.

Aidha, Dkt. Kikwete amesema kuwa pamoja na juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika kupunguza vifo vya akinamama wakati wa uzazi na mipango mingine ya uzazi bora, bado tatizo linabakia kubwa na zinahitajika juhudi zaidi ili kuondokana na tatizo la vifo wakati wa uzazi.

Dkt. Kikwete ameyasema hayo leo, Alhamisi, Julai 19, 2012, wakati alipokutana na kuzungumza na Mtendaji Mkuu wa shirika la kimataifa lisilokuwa la kiserikali la Pathfinder International, Dkt. Purnima Mane, Ikulu, Dar es Salaam.
Dkt. Kikwete amesema kuwa ni jambo lisilokubalika kabisa kwa mwanamke kupoteza maisha wakati akijifungua. 

“Uzazi siyo ugonjwa na kwa hakika ni jambo lisilokubalika kwa mwanamke kupoteza maisha wakati akijaribu kutoa maisha kwa binadamu mwingine. Hili ni jambo ambalo Serikali itaendelea kupambana nalo hadi kulifikisha mahali pazuri zaidi.”

Dkt. Kikwete amesema kuwa ni kweli kuwa Serikali yake imekuwa inafanya juhudi kubwa katika eneo hili lakini bado tatizo ni kubwa na zinahitaji jitihada za ziada.

 “Tumefanya jitihada kubwa na kupata mafanikio ya kujivunia lakini bado kazi ni kubwa.”

Takwimu za sasa zinaonyesha kuwa akinamama 578 kati ya 100,000 hupoteza maisha wakati wa uzazi, idadi ambayo imeshuka kutoka miaka minne iliyopita wakati takwimu zilionyesha kuwa akinamama 790 kati ya laki moja walikuwa wanapoteza maisha wakati wa kujifungua.

Miongoni mwa maamuzi ambayo Serikali imechukua kukabiliana na tatizo hilo ni pamoja uamuzi wa kupunguza umbali wa kufikia huduma za afya kwa kujenga zahanati kila kijiji na kituo cha afya kila kata na hivyo kuhakikisha kuwa huduma hizo zinapatikana katika umbali usiozidi kilomita tano.

Serikali pia imeamua kuwa kila zahanati ama kituo cha afya lazima kiwe na huduma za kuhudumia wazazi na waja wazito.

Serikali pia imechukua hatua za kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi ambao ni moja ya chimbuko kubwa la vifo vya akinamama waja wazito.

Dkt. Mane ambaye anatembelea Tanzania kwa mara ya kwanza amemsifu Rais Dkt. Jakaya Kikwete kwa uongozi wake katika masuala ya afya na masuala mengine.

“Uongozi wako katika suala hili ni jambo linalojulikana duniani pote. Tunakushukuru sana kwa sababu wewe ni bingwa wetu na msemaji wetu mkubwa katika mapambano ya usalama wa akinamama waja wazito.”

Pathfinder International ni shirika la kimataifa lisilokuwa la kiserikali ambalo malengo yake makuu ni kushughulikia afya za akinamama na kuboresha uzazi. Katika Tanzania, Pathfinder International linaendesha miradi tisa kwa sasa katika maeneo ya UKIMWI, masuala ya uzazi na uzazi wa mpango.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
19, Julai, 2012


Tuesday, July 17, 2012

25 TANZANIAN PATIENTS WITH HEART RELATED PROBLEMS TO BE TREATED BY SRI SATHYA SAI SOCIETY, FREE OF COST




Sri Sathya Sai Society is undertaking unique exercise of screening patients suffering from heart related problems from 16-18th July 2012 at Regency Medical Centre.

25 patients will be selected and in August a specialist doctor from Sri Sathya Sai Hospital, Rajkot India will do a final check up after which they will be sent to the said hospital in Rajkot for further treatment free of cost.

Sri Sathya Sai Heart Hospital will bear the expenses of picking the patients from the nearest airport in India, providing treatment, surgeries and medicines expenses and lodging and boarding facilities during their stay in India.  They will be largest contributor of the whole exercise.

Sri Sathya Sai Society of Tanzania will bear all the expenses of screening the patients here and their travel cost from Dar to Rajkot India.  The estimated cost will be USD 30,000 for air fare and other incidental expenses of USD 5000 total USD 35000 which we intend to generate from our own resources, Sai family members and their associates and corporate.

To contribute in whatever amount for the noble cause, please contact Mr. Jajoo +255 757 963143