Wednesday, December 19, 2012

WIZARA YA AFYA KUANZISHA KINGA YA KUZUIA VIFO KWA WATOTO UMRI CHINI YA MIAKA 5



WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii inatarajia mwaka ujao kuanzisha chanjo mpya mbili za Pneumococcal na Rotavirus, ambazo ni maalum katika kukinga maradhi na vifo kwa watoto waliochini ya umri wa miaka mitano.

Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam leo, na Mkurugenzi wa Kinga, Elias Chinamo, wakati wa warsha ya siku moja ya wandishi wa habari, ya kuwajengea uwezo wa kufikisha elimu sahihi kwa jamii pamoja na kuihamasisha jamii kuhusu chanjo hizo mpya,  zitakapoanza mwaka 2013.
Alisema walengwa wa chanjo hizo watakuwa ni watoto waliyo n aumri wa chini ya miezi 12 ambapo chanjo ya kukinga nimonia (pcv13), itatolewa mara tatu kuanzia umri wa wiki sita, 10 na 14.

Chinamo alibainisha kuwa chanjo ya kinga ya kuhara  (rotavirus), itatolewa mara mbili kuanzia umri wa wiki sita na 10, inasisitizwa kuwa ili mtoto apate kinga kamili ni lazima akamilishe ratiba mapema.

Alisema kitaalam zinaonesha kuwa chanjo ya ‘Pneumococcal’ hukinga maambukizi ya nimonia kwa asilimia 38, homa ya uti wa mgongo kwa takriban asilimia 87; na chanjo ya ‘rotavirus’ hukinga  kuharisha kunakosababisha vifo vya watoto kwa aslimia 80.

Chinamo aliongeza kuwa  kwa sehemu kubwa hukinga ugonjwa wa kuharisha unaosababshwa na vimelea vya aina nyingine pia.

Alibainisha kuwa vimelea ‘Streptococcus Pneumoniae’ ni kisababishi kikuu cha maradhi na vifo vitokanavyo na ugonjwa wa nimonia na homa ya uti wa mgongo kwa watoto katika nchi zinazoendelea.

Aidha, vimelea vya ‘rotavurus’ kwa upande mwingine husababisha takriban asilimia 80 ya maradhi na vifo vitokanavyo na kuharisha kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano duniani

Vile vile alitoa wito kwa wananchi kuwa chanjo hizo ni salama na zitatolewa bure bila malipo ambapo pia aliwahakikishia wananchi hao kuwa  chanjo zitatolewa na wataalam wenye uzoefu.


Monday, December 17, 2012

5 Weight Gain Causes You Can’t Control



The frustration and annoyance of seeing extra pounds on the scale, or of the sudden tightness of a favorite pair of pants, is understandable.
But did you know that anything from a hormonal imbalance to vitamin deficiencies to your medication can help control how much you weigh?
1.              Anti-Depressants
Many anti-depressant medications cause weight gain, so if you’re depressed and taking pills for it, expect to see a bump in weight between 5 and 15 pounds, with continued gradual accumulation over the years.
Solution: Seek out some workout buddies or a support group. “Attending meetings, like Weight Watchers, or working out with a group of friends is a great way to increase social support.
2.              Prescription Medications
There’s a long list of medications that can cause weight gain:
Birth control pills
Hormones for hormone therapy
Steroids
Beta-blockers
Anti-seizure medication
Tamoxifen
Some treatments for rheumatoid arthritis
Treatments for migraines
Heartburn medications
Solution: If you suspect your medication is affecting your waistline, your doctor may be able to find an alternative treatment that won’t have that particular side effect.
3.              Digestive Problems
Digestive issues, including slow bowel movements, may also account for excess pounds,  If you’re not so regular, dehydration, medications, low fiber, or even a lack of good flora in your gut could be to blame.
Solution: If constipation is your only symptom, then trying probiotics can help your digestive tract work properly. Staying hydrated is a key, along with a diet chock-full of fiber-rich foods. But you can also try drinking a fiber powder, like Metamucil, mixed with water. It may even grab fat globules in your intestinal tract as it scrubs out waste, If you’re still having trouble, check with your doctor to rule out a range of disorders, including hypothyroidism or a neurological issue.
4.              Vitamin-Deficiencies
Being low in vitamin D, magnesium, or iron can compromise your immune system, sap your energy levels, or alter your metabolism in ways that make it harder to take healthy-lifestyle steps.
Solution: While you can try to boost your iron levels by eating red meat and spinach and increase magnesium by adding Brazil nuts or almonds to your diet, it’s nearly impossible to consume enough milk or get enough sunlight to compensate for low vitamin D. It’s important to know that it could take awhile to find your right dose of vitamin D. but it’s still wise to let your doctor rule out hypothyroidism or other conditions that might cause insulin resistance, and thus weight gain, before you start taking supplements.
5.              Age
It’s the one condition that’s unavoidable, Often, I hear patients tell me they think their metabolism is slowing down. Some studies show that exercise might be even more important than the diet for long-term weight maintenance.”
Solution: Remember that all calories are not equal when it comes to weight, Eating lean protein will cause your body to burn calories more efficiently. On the other hand, carbs are something your body tends to burn more slowly and even store in your body more readily. Health Conditions
Many conditions, such as thyroid disorders and certain cancers, can result in unintentional weight gain. Additionally, conditions that limit your mobility, such as arthritis, can indirectly cause weight gain by reducing your ability to be active.
Solution: Talk with your doctor about how you can help manage your weight while you’re being treated for your condition. Also, try to focus on eating as healthy as possible, for the sake of your overall health.